Thursday 30 June 2016

Unknown

TAZAMA HISIA ZA MASHABIKI WA MZIKI WA PWANI BAADA YA "MWINYI KAZUNGU" KUTANGAZA KUTOCHEZA MZIKI WA PWANI.


Baada ya Presenter huyo wa KBC Radio ambaye pia nimzawa wa pwani kupeana ujumbe ufikishwe kwa wasanii wa pwani wa kutocheza mziki wa pwani tena, hizi ndizo sababu zake alizozitaja; -



“Nataka kustop kucheza mziki wa mombasa na nataka uambie wasanii wote wa mombasa habari hii….. Mimi ni mpwani lakini jina langu limetambulika na wapwani. Jambo la pili, Usanii wa pwani uko na shida nyingi na hamuelewani. Staki aibu. Tatu wengi wenu mnamajivuno na hamushirikiani. Mtasaidika vipi? Kumbuka Dogo mziki sio kuchezwa tu………” 

Mitandaoni mashabiki wa mziki wa pwani hawakupendezwa na maoni yake hivyo basi hawakuachwa nyuma na walikua na haya yakusema;


Mwinyi kazungu-(Nyumbani ni Nyumbani hata kama kichakani) na kama Mungu alipangia time flani ni ya flani ama song hii iwe hit kwa wakat huu hata ukibana airplay ww still itahit tu, so wacha tuone coast music kama kutakuwa na pengo ama kama itarudi nyuma ukiacha kucheza muziki wa wapwani katka station ya kbc, uamuzi wako ww kama mzaliwa wa pwani haukuwapendeza wa pwani atlst ungekuja na suluhu za shida ulizoziona lakini yote tisa, kumi ww kama huchezi mziki wa pwani je hao mashabiki wa Top mashariki wataongezeka au watapungua?? badala tuungane ni mipaka tunaweka...dah... no hard feelings ni mtazamo tu...
Shady Mchokozy acheze mziki wa pwani, kazi ya u presenter huisha akaregea bamba
Like · Reply · 7 · 22 hrs

Jos-k Madala mchokozy wa mombasani finest.......hehe hatumuombei hayo ila anafaa abadilishe uamuzi wake
Like · Reply · 1 · 22 hrs

Ziky Kenya Hahaha
Like · Reply · 1 · 22 hrs


Peace Prince he he #Machokozy bhana mwambieni kwao nikuleeeeee Bamba tuu
Like · Reply · 3 · 22 hrs

Elijah Kalashy umenena #jos k mziki wa pwani asili yake pia anabana
Like · Reply · 1 · 22 hrs

Like · Reply · 2 · 22 hrs

Remmy Mchelsea Bora nirudi kule kwa zamani
Like · Reply · 2 · 22 hrs

Jos-k Madala heheh ya so funny
Like · Reply · 1 · 22 hrs


Dallas Masoudy Atacheza usijali bro zangu anacheza
Like · Reply · 2 · 22 hrs

Jos-k Madala amecheza leo
Like · Reply · 22 hrs

Mike Ekutan pole pole kaka, kuketi na kupata suluhu ndiyo dawa tosha, lakini kumuanika wa kwenu kwenye mitandao ya kijamii si hatua ya busara, kaka tulia, asante sana.
Like · Reply · 2 · 22 hrs

Jos-k Madala ni mchizi wangu na xi eti ni kumuanika yy hii issue aliiweka kwa ukurasa wake wa Facebook kama uamuzi wake so nimepost juu pia kuna wasanii wa coast na mafans hawakua wanalijua hili.....bt sasa wamepata kujua

Mike Ekutan asante Jos-k


Scholar Wena Yuajisahau...upresenter huisha
Like · Reply · 1 · 22 hrs

Jos-k Madala true.....Mungu ndio ajuae kesho

Dallas Masoudy Ok kesho nitaenda Nai kwa intaviu radio maisha na jambo nitaenda kubonga naye kuhusu hyo inshu ni kweli amekuwa down ila kuna wasanii Wa cost walimkwanza naaamini atacheza ila sitakutaja na usipost kitu tena ukikosana presents bitu haina haja kwetu wasanii tia bidiii kaka

Jos-k Madala yy kabla apost jana huo uamuzi I think ingekuw poa sana kujadiliana na wasanii wnzk kutoka pwani kwanza.....bt sawa ukiweza ongea naye hakuna mwny ubaya na yy ila nimepost tu ndio wasanii na mafans na wasanii wny hawkuona post yake ya jana pia wajua huo ndio uamuzi wa mtetezi

Dallas Masoudy Tutawanyoosha ngoja nirudi kwetu tz wcb itakuwa noma

Like · Reply · 1 · 22 hrs

Neddy Yubu Ukweli unauma,,lkn wakati mwengine inabidi. mwinyi ww ni ndugu yetu lazima tukueleze na kama ulikosewa pia ungeeleza lkn usichukue hatua ya kutocheza mziki wa pwani jua pia ww umetoka pwani na utarudi pwani

Jos-k Madala True dat


Kaka Mkali J Kenya low simu imefulia nimeona hi


Kaka Mkali J Kenya sisemi kitu bro wacha ngoma itambae


Haji Kiduma mmm!binadamu wema hawana#lawama lazima

Dominique Le Roi MWINYI wacha hizo bro...unaturudisha nyuma. Ama kweli adui wa mtu ni mtu

Iddi Omar Õzil Mwanzo hamna ywaskiza kbc abaki na station yao zamani
Like · Reply · 1 · 19 hrs


Pascal Shanga Deche Kama husikizi KBC Jos-k Madala usiseme haina mashabiki.. kumbuka hizi station zetu ni regional lakini kbc ni National..so ukieka list ya best performing radio station kenya mzima hizi unazo zisifia hutaona hata moja...na kumbuka bado kuna other places station bado ni KBC pekeee...na kumbuka hao mashabiki wachache bado ni muhimu.
Like · Reply · 6 · 17 hrs · Edited


La Mumbaz Classiq Nme mind mtazamo wko jambazi
Like · Reply · 1 · 17 hrs

Pascal Shanga Deche True stroy..performing radio station kenya mzima KBC watafute top 5
Like · Reply · 1 · 17 hrs

La Mumbaz Classiq Hahahah tayar washajua bro

Jos-k Madala najua kaka en naheshimu sana kbc mayb hujanielewa vzuri chenye nilikuwa namaanisha.....
Like · Reply · 3 · 17 hrs

La Mumbaz Classiq Mm naamini kila m2 ana uhuru wakufanya anchojiskia au anachopenda....so km mwinyi kaamua kutocheza ziki la coast achanene nae

Jos-k Madala ???mm pia nn na uhuru wakuongea chochote kwa wall yangu ya facebook bora cjatusi mtu, vp ww la mumbaz ama una mengn mbali na haya jibaba¿
Like · Reply · 1 · 17 hrs

La Mumbaz Classiq Mengine izo n fikra zako sasa...

Auncle Jay Sicuboy ndo ya wapwani aya

La Mumbaz Classiq Jay hahahah

Babylonia Staalon Macadonia Mkataa qwao n mtumwa mbna namkubal jos k madala VP uende ugenini ukatae asil ya kwenu huo n utumwa Leo haioni maana lakin kesho atajijua ana laana coast inarud nyuma qwa kutosuppport mzik we2... Lakin IPO cku watajua TUNAWEZA

Jeffizzo Adamson hapo sawa bro

The-Jonez King Gaitz kbc iko na mafans wengi xana....bt mkumbuke hizi kazi niza contract.....


Auncle Jay Sicuboy Waaaah...Imefikia hapo...haya twendeni nalo wanakwetu

Shaaban Hamad Hekima ni muhimu,sidhani kama presenters wengine wanafrahia maneno yenu coast promoters,chungeni kauli zenu mutajiharibia biashara zenu kwa kutotumia hekima na makini ktk uamuzi wenu.

Mark Mwathethe Anatafuta kiki za msimu kama ngoma nihit itakuwa hit

The-Jonez King Gaitz nani alisema ngoma lazima iwe hit ndio ichezwe....??? hata football mastar husakata bumba na wenzao. kwako inawza kuwa sio hit bt kwa mwenzako ujumbe tosha.....#suluhu ndio muhimu na pia kujituma..tena msisahau wapo walio pewa suport kubwa kimziki na hao hao promoters vikawalemea...the bst artist paying nai...redsan,bamboo,canibal,the jembez,kizo b...wote wapwani hawa...we nd each ada 2make it real ...



#COURTESY OF JOS-K MADALA


Subscribe to get more videos :