Friday 4 March 2016

Unknown

Miji 10 ya Afrika yenye Matajiri wenye utajiri wa zaidi ya BILIONI 60… Afrika Mashariki imetajwa miwili tu !

Hii ni dunia ambayo kila siku kuna watu wanafanya utafiti wa vitu duniani… sasa leo March 4 2016 nakuletea matokeo ya utafiti uliofanywa kwenye bara la Afrika na kuonyesha kwamba ifuatayo ndio miji kumi ya nchi za Afrika ambako Matajiri wengi wanapatikana.
Kila tajiri aliejumuishwa kwenye hii list ni yule aliye na utajiri unaozidi dola za kimarekani milioni 30 ambazo kwa Tanzania ni zaidi ya BILIONI 65 ambapo moja ya miji hiyo 10 Dar es salaam ipo pia ikiwa nafasi ya sita ikiwa na matajiri 36 wenye utajiri huo.

List kamili kwenye nafasi ya kumi ni mji wa 10Kano Nigeria, 9Marrakesh Morocco 8Addid Ababa Ethiopia 7Abuja Nigeria 6Dar es salaam Tanzania 5Nairobi Kenya ambako kuna matajiri wa aina hiyo wapatao 69. Namba 4 ni Capetown South Africa yenye matajiri 115 wa aina hiyo. 3- Lagos Nigeria yenye 131 2- Cairo Egypt 1. Johannesburg South Africa yenye matajiri wa aina hiyo 238.

#Courtesy of:  http://millardayo.com

Subscribe to get more videos :