Monday 6 February 2017

Unknown

EXCLUSIVE// Ben Pol ataka kumpiga reporter kisa kuuliza kuhusu maisha yake na Mama wa Mtoto wake


Mwanamuziki wa Rn'B nchini Tanzania, Bernard Paulo aka Ben Pol au kama anavyo jiita East Africa's King Of RnB & Soul, Amezua kali ya mwaka 2017 baada ya kutaka kumpiga reporter wa eNEWZ show ya Habari za burudani inayo rushwa na channel ya East Africa Television


PATA KUTIZAMA NA KUMSIKILIZA BEN POL ALIVYO MKEMEA  MWANAHABARI HAPA:
Ben Pol amshutuma na kumkemea mwanahabari.

Subscribe to get more videos :